Ripoti kutoka Damascus zinaonesha mapambano makali baina ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji wa upinzani katika mji mkuu.
Kinu cha umeme kilishambuliwa na moshi ulionekana.
Basi lilobeba wafanyakazi wa sekta ya mafuta kutoka Urusi lilipigwa.
Baraza la Kitaifa la Syria
Haijulikani jeshi la serikali lilipata hasara gani na wakuu mjini Damascus hawakusema kitu juu ya tukio hilo.
Abdelbaset Sayda
Abdelbaset Sayda alichaguliwa kuchukua pahala pa Burhan Ghalioun, aliyeshikilia wadhifa huo tangu kundi hilo liundwe mnamo mwezi Septemba.
No comments:
Post a Comment