Mwenyekiti wa Kamati ya Wazee wa Klabu ya Yanga, Ibrahim Akilimali
akitangaza kumfuta Uenyekiti wa timu hiyo, Lyod Nchunga, wakati wa
mkutano wa wanachamauliofanyika kwenye klabu hiyo, Mtaa wa
Jangwani naTwiga jijini Dar es Salaam.
Wanachama wa Yanga wakishangilia tamko la kumg'oa Mwenyekiti wa Klabu hiyo Lyod Nchunga
Mashabiki wa Yanga ambao si wanachama, wakifuatilia mkutano wakiwa mbali
![]() |
Mmoja wa wanachama wa Yanga, anayeitwa Nyachia akionyesha kadi yake wakati wa kujisajili kuingia kwenye mkutano huo. |
No comments:
Post a Comment