Sunday, July 8, 2012

inakuhusu: jiandae mtanzania kwa hili.

Sensa ya Watu na Makazi 2012

SENSA YA WATU NA MAKAZI NI MUHIMU KATIKA MIPANGO
YA MAENDELEO - “Jiandae Kuhesabiwa 26 Agosti 2012”


Historia ya Sensa Tanzania.
Sensa ya kwanza Tanzania ilifanyika mwaka 1910. Sensa nne za Mwisho zilifanyika baada ya Uhuru, katika miaka ya 1967, 1978, 1988 na 2002. Kulingana na sensa ya mwisho iliyofanyika mwezi Agosti 2002, idadi ya watu nchini Tanzania ilikuwa 34,443,603.

No comments:

Post a Comment