hii ndo hali halisi katika ...nchi zetu za kiafrica ....hii ni wodi ya kinamama.....mazingira c mazuri kabisa kwa kweli...hapa hata mtoto mwenyewe anaetarajiwa kuja duniani kuna hatari ya kuugua..na hata kina mama wenyewe...CHUKUA HATUA HAKI AFYA......
No comments:
Post a Comment