Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla Akabidhi Shilingi Milioni Kumi Kwa Mama wa Marehemu Steven Kanumba Kwa Niaba Ya Serikali.
Naibu
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla
akikabidhi kiasi cha shilingi milioni kumi kwa mama wa marehemu Steven
Kanumba ikiwa ni rambirambi ya Serikali kwa familia.
No comments:
Post a Comment