Mbunge
wa Ubungo (Chadema), John Mnyika ameshinda kesi ya kupinga ushindi
wake katika Jimbo la Ubungo katika uchaguzi wa mwaka 2010, hukumu
iliyotolewa leo na Mahakama Kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam.
Pichani wafuasi wa Chadema wakiwa wamembeba juu kwa juu mara baada ya
kutangazwa mshindi.
No comments:
Post a Comment