Wednesday, May 2, 2012

Makongoro Mahanga ashinda kesi ya uchaguzi jimbo la Segerea


Mbunge wa Jimbo la Segerea Na Naibu Waziri , Dk. Miltoni Makongoro Mahanga,
 
Makongoro Mahanga aibuka mshindi katika kesi ya kupinga ubunge dhidi yake iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea ubunge katika jimbo la segerea kupitia tiketi ya Chadema Mh Fred Mpendazoe. Katika Uchaguzi uliofanyika Mwaka 2010 na kumfanya Mahanga Kuibuka Mshindi kupitia ushindi huo Aliyekuwa Mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema alifungua kesi kwaajili ya kupinga Matokeo ya Ushindi wake kwa vigezo kuwa Uchaguzi huo ulikiuka taratibu na sheria za uchaguzi ambapo Hukumu Iliyotolewa leo Imemtangaza Mahanga kuwa Mshindi wa Kesi hiyo lakini Hakimu alitoa nafasi na Kusema endapo mlalamikaji akulidhika na Hukumu hiyo anaruhusiwa kukata rufaa. 
Hata hivyo Mpendazoe ametakiwa Kulipa gharama zote za Kesi Hiyo. HABARI KWA HISANI YA LUKAZA.

No comments:

Post a Comment