Sunday, June 17, 2012

NAFASI ZA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI KWA WANAOMALIZA VYUO (UNDERGRADUATES)


Jeshi la polisi Tanzania limetoa nafasi  kwa wanaomaliza vyuo (undergraduate) mwaka huu wanaopenda kujiunga nalo.
Tahadhari iliyotolewa:
1)      Usijaze fomu ya kujiunga kama unamatatizo yoyote ya kiafya au kimwili(physical disability)ambayo yanaweza kuwa kizuizi katika kupata kozi mbalimbali za polisi au kufanya kazi.
2)      Fomu zijazwe na wahitimu wa mwaka huu(2011/2012) pekee na si wengineo.
Form ya kujiunga na Jeshi la Polisi BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment