Friday, June 29, 2012

NEWS: Taswira Mbalimbali Za Jinsi Hali Ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Steven Ulimboka inavyoimarika


 
  Hali ya afya ya Dkt. Steven Ulimboka inaendelea vyema baada ya kushambuliwa na watu wasiofahamika usiku wa kuamkia juzi jijini Dar es Salaam.Ulimboka anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhumbili (MNH), Kitengo cha mMifupa (MOI) aliko lazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) huku jopo la madaktari Bingwa wakiendelea kumnusuru Kama aonekanavyo pichani juu. HABARI KWA NIABA YA LUKAZA BLOG.

No comments:

Post a Comment