NEWS: Taswira Mbalimbali Za Jinsi Hali Ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Steven Ulimboka inavyoimarika
Hali ya afya ya Dkt. Steven Ulimboka inaendelea vyema baada ya
kushambuliwa na watu wasiofahamika usiku wa kuamkia juzi jijini Dar es
Salaam.Ulimboka anaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhumbili
(MNH), Kitengo cha mMifupa (MOI) aliko lazwa katika chumba cha wagonjwa
mahututi (ICU) huku jopo la madaktari Bingwa wakiendelea kumnusuru Kama aonekanavyo pichani juu. HABARI KWA NIABA YA LUKAZA BLOG.
No comments:
Post a Comment