Mbunge
wa jimbo la Ubungo,John Mnyika akitoka katika ukumbi wa Bunge la
Tanzania mjini Dodoma Jana baada ya kukataa kufuta kauli ya kumdhalilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu.
Mbunge
wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka nje ya viwanja vya Bunge la
Tanzania mjini Dodoma jana baada ya kukataa kufuta kauli ya kumdhalilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu.
Mbunge
wa Jimbo la Ubungo,John Mnyika akiteta na Mbunge wa jimbo la Wawi Hamad
Rashid Mohamed (kushoto) na Mbunge wa Bariadi Mashariki John Cheyo mara
baada ya kuondolewa Bungeni mjini Dodoma jana baada ya kukataa kufuta
kauli ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa
dhaifu.
Mbunge
wa jimbo la Ubungo John Mnyika akitoka nje ya viwanja vya Bunge la
Tanzania mjini Dodoma baada ya kukataa kufuta kauli ya kumdhalilisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa dhaifu.
No comments:
Post a Comment