Tuesday, June 19, 2012

Serikali Ya Tanzania Yapokea Faru Watatu Kutoka Uingereza Kwa Ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi.

Waziri wa Malisili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akipeana mkono na Balozi wa Uingereza nchini. Bi. Dianne Corner mara baada ya balozi kukabidhi faru watatu walioletwa nchini kutoka Uingereza kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi.

No comments:

Post a Comment