Serikali Ya Tanzania Yapokea Faru Watatu Kutoka Uingereza Kwa Ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi.
Waziri
wa Malisili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akipeana mkono na Balozi
wa Uingereza nchini. Bi. Dianne Corner mara baada ya balozi kukabidhi
faru watatu walioletwa nchini kutoka Uingereza kwa ajili ya Hifadhi ya
Taifa ya Mkomazi.
No comments:
Post a Comment