Mamia ya Wananchi wakiwa kwenye
foleni tayari kuingia ndani kwaajili ya Show ya washindi wa Kili Music
Awards ilofanyika katika uwanja wa jamhuri mkoani Dodoma jana
Mshindi wa Kilimanjaro Star Search
Issa akiwa Jukwaani huku akishusha burudani kwa wapenzi wa Muziki
wakiojitokeza kushuhudia Tamasha kubwa la Washindi Wa Tuzo za Kili
Musics Awards 2012
Mshiriki wa Shindano la Kili Star
Search akitoa Burudani katika show ya Washindi Wa Kili Music Award 2012
katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma
Kutoka Kulia ni Mshindi wa Kwanza wa
Kilimanjaro Issa Kutoka Pande za UDOM na Mshiriki wa BSS 2008 ameshinda
kwenda kurekodi nyimbo zake na gharama hizo zitalipwa na Kilimanjaro, wa
pili ni Juma na Mwisho ni Alice
Issa
Mshindi wa Kwanza wa Kili Star Search akipongezana na Mshindi wa Pili
wa Kili Star Searc 2012 katika Show ya washindi wa Tuzo za Kili
zilizofanyika katika uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma
No comments:
Post a Comment