my tanzania at - 6 hours ago
**
* Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape
Nnauye na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Vicky Kamata leo wamezuru Mnara wa
kumbukumbu ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Marehemu Edward Sokoine, eneo la
Morogoro, ambako alifariki dunia katika ajali ya gari. Pichani, Nape na
Viki wakisoma maandishi kwenye mnara huo. Walikuwa wanatoka Dodoma Kwenda
Dar es Salaam.*
No comments:
Post a Comment