Maafisa wa Sudan  wanajeshi  400 wa Sudan Kusini waliuwawa wakati wa mapigano katika mzozo wa mji  wa Heglig, eneo la kuzalisha mafuta linalodaiwa na nchi zote mbili.
Majeshi ya Sudan Kusini yamekamilisha uondokaji wao Heglig jumapili, wakisema idadi ya askari waliouwawa ni ndogo na  kile Sudan wanachodai. Idadi  ya waliojeruhiwa Sudan ni haiwezekani  kuthibitisha.
Mzozo juu ya  Heglig na vinu  vyake  vya mafuta vyenye utajiri umepelekea  wasi wasi wa vita kamili ikiwa ni chini ya mwaka mmoja baada  ya Sudan kusini kujitangazaia uhuru wake kutoka kaskazini.