Monday, April 30, 2012

TASWIRA ZA DIAMOND PLATINUM ALIVYOTUA NA CHOPER NDANI YA DAR LIVE HAPO JANA


Huyu ndiye Diamond mwingine hakunaga, akielekea kupanda helikopta kwenda viwanja vya Dar Live kufanya makamuzi jana Jumapili, 29 April 2012
Diamond akiwa na rubani wake wakielekea kwenye helikopta
Hapa nimemkubali maana hakuna kitu muhimu kama kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabala ya kufanya jambo lolote
Helikopta ikingia uwanjani hapo chezeaaa
Dar Live palikuwa hapatoshi
Helikopta ikamshushua ka kuondoka zake
Diamond akimsalute rubani wake na Mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama
 Nimpende nani? Nimpende nani? hahaha nawaza kwa sauti tu

 full mzuka
 Mambo ya mavazi ya Diamond na dancers wake naona yalikuwa ni mwendo wa US Marine Style.SOURCE: lukaza

No comments:

Post a Comment