Huyu
ndiye Diamond mwingine hakunaga, akielekea kupanda helikopta kwenda
viwanja vya Dar Live kufanya makamuzi jana Jumapili, 29 April 2012
Hapa nimemkubali maana hakuna kitu muhimu kama kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabala ya kufanya jambo lolote
Helikopta ikingia uwanjani hapo chezeaaa
Dar Live palikuwa hapatoshi
Helikopta ikamshushua ka kuondoka zake
Diamond akimsalute rubani wake na Mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama
Nimpende nani? Nimpende nani? hahaha nawaza kwa sauti tu
full mzuka
Mambo
ya mavazi ya Diamond na dancers wake naona yalikuwa ni mwendo wa US
Marine Style.SOURCE: lukaza
No comments:
Post a Comment